JE WATANZANIA MNAJISIKIAJE KUWA NA RAHISI JEMBE KAMA HUYU
USIPITWE BILA KU COMMENT NA KULIKE HII TOPIC
comment kuhusu
1.utendaji kazi wake
2.jitihada zake kuondoa umasikini
3.jitihada zake kupigana na magonjwa
4.je anamapungufu yoyote
5.onesha jitihada zake katika kupunguza ufisadi na matabaka
6.jitihada zake katika kuweka ushirikiano wa kitaifa
onyo usithubutu kutukana na kupost ku komment matusi kwani ni kosa kisheria
Share this post
To be informed of the latest articles, subscribe:
Comment on this post