boy 47 bado cjaanza kazi ki uhakika kazi itaanza siku ya 47 ya mwaka 2016
maneno hayo yalisemwa na mwenyekiti wa 47projects kwamba bado yeye ajaanza kazi ila kwa muda huu atakuwa akipost vitu vya muhimu kuhusu sehemu muhimu ikiwemo
jehova rafa furniture na farja seminary school
kwa muda huu naacha wengine wavume ila kilajambo linafanywa kwa mipango kwahiyo mashabiki wangu kaeni tayari
Share this post
To be informed of the latest articles, subscribe:
Comment on this post